Chumba cha Habari
HABARI ZA SASA
Baraza Lenye Kuongoza—Ripoti ya 2 ya 2020
Angalia hii video ili upate kujua namna Yehova iko anaongoza tengenezo lake mu wakati wa magumu na namna anatutolea wachungaji wenye upendo ili watuhangaikie.
HABARI ZA SASA
Baraza Lenye Kuongoza—Ripoti ya 2 ya 2020
Angalia hii video ili upate kujua namna Yehova iko anaongoza tengenezo lake mu wakati wa magumu na namna anatutolea wachungaji wenye upendo ili watuhangaikie.
Mashahidi wa Yehova Katika Venezuela Wanaendelea Kufundisha Watu Biblia Hata Kama Kuko Matatizo ya Feza
Baraza Lenye Kuongoza la Mashahidi wa Yehova linahangaishwa sana hali ya ndugu na dada zetu katika Venezuela wenye kupambana na matatizo ya feza na hali za maisha zenye kuendelea kuharibika.
Ripoti ya 1 ya 2022 ya Baraza Yenye Kuongoza
Ndugu moya wa Baraza Yenye Kuongoza anatutia moyo tuendelee kuwa macho kiroho.
Baraza Lenye Kuongoza—Ripoti ya 7 ya 2021
Ndugu mumoja wa Baraza Lenye Kuongoza anatutia moyo tuendeleze umoja wetu.
Ripoti ya 6 ya 2022 ya Baraza Yenye Kuongoza
Mushiriki moya wa Baraza Yenye Kuongoza anatoa ripoti fulani na anatangaza andiko ya mwaka wa 2023.
Ripoti ya 4 ya Baraza Yenye Kuongoza ya 2023
Mu hii ripoti, ndugu moya wa Baraza Yenye Kuongoza anatupatia hamu ya kuwa ku mikusanyiko yetu ya eneo ya hii mwaka yenye tutafanya uso kwa uso, na anazungumuzia vile Yehova analindaka watu wake kiroho.
Baraza Lenye Kuongoza—Ripoti ya 9 ya 2020
Ndugu mumoja wa Baraza Lenye Kuongoza anafasiria juu ya nini ni muzuri tuendelee kuwa waangalifu, na namna tunaweza kujilinda juu tusipatwe na coronavirus.
Ripoti ya 6 ya Baraza Yenye Kuongoza ya 2023
Mu hii ripoti, ndugu moya wa Baraza Yenye Kuongoza anazungumuzia sehemu ya kuuliza maulizo yenye kutia moyo. Mwenye kuulizwa maulizo ni ndugu Negede Teklemariam.
Muji Mumoja Katika Austria Unaonyesha Heshima Mashahidi wa Yehova 31, Wenye Waliteswa na Utawala wa Wanazi
Katika muji wa Techelsberg jiwe la musingi la ukumbusho liliwekwa kwa ajili ya Mashahidi wa Yehova wenye Wanazi walitesa wakati wa Vita ya Pili ya Ulimwengu.
Hakuna Sababu ya Kuogopa Upinzani
Ku mukutano wa kila mwaka wa 2019, Ndugu Mark Sanderson, wa Baraza Yenye Kuongoza, alitoa hotuba yenye kichwa “Tunapaswa Kuogopa Nini?” Mu ile hotuba mulikuwa hii sehemu ya video yenye kuonyesha mambo yenye ndugu na dada zetu wenye walipata upinzani mu Urusi walikutana nayo.
Ripoti ya 3 ya 2022 ya Baraza Yenye Kuongoza
Ndugu moya wa Baraza Yenye Kuongoza anazungumuzia mambo yenye inaweza kutusaidia tusikuwe na wasiwasi sana juu ya vita yenye kupiganwa kule Ulaya ya Mashariki.
Baraza Lenye Kuongoza—Ripoti ya 4 ya 2021
Ndugu mumoja wa Baraza Lenye Kuongoza anazungumuzia habari za sasa na ushuhuda mbalimbali wenye kutia moyo. Ule ushuhuda unaonyesha namna Yehova iko anatusaidia “[tutoke] tukiwa tumeshinda kabisa,” hata kama tuko tunapata magumu.
Mashahidi wa Yehova Wenye Kufungwa kwa Sababu ya Imani Yao—Kulingana na Eneo
Mahali kwenye Mashahidi wa Yehova wamefungwa katika gereza, wakati fulani katika hali za mubaya sana, kwa sababu ya imani yao na kutenda kulingana na haki zao za musingi za kibinadamu.