Ona video zinazopatikana

Historia ya Biblia

Namna Biblia Ilitufikia

Tunaweza kuwa hakika kwamba mawazo yenye yalikuwa katika maandishi ya kwanza ya Biblia yamepitishwa bila makosa mupaka leo.

Ni Nani Alitia Sura na Mistari Katika Biblia

Sababu gani namna hiyo ya kugawanya sura na mistari ilikubaliwa na wengi?

Biblia Iliokoka Hata Kama Kulikuwa Upinzani

Viongozi wengi wa politike na wa dini walijaribu kukataza watu kuwa na Biblia, kuitafsiri, ao kuichapisha. Lakini walishindwa.

Namna Gani Tunaweza Kuwa Hakika Kama Biblia Inasema Kweli?

Kama ni Mungu aliandikisha Biblia, inapaswa kuwa tofauti kabisa na vitabu vingine vyote.

Biblia Imebadilishwa ao Kugeuzwa?

Kwa kuwa Biblia ni kitabu cha zamani sana, namna gani tunaweza kuwa hakika kama makosa hayakuingia katika ujumbe wake?

Biblia Iliokoka Hata Kama Watu Walijaribu Kubadilisha Ujumbe Wake

Watu fulani wenye hawako waaminifu walijaribu kubadilisha ujumbe wa Biblia. Namna gani walivumbuliwa na kuzuiwa?