Ona video zinazopatikana

BIBLIA INAFUNDISHA KABISA NINI? (MIONGOZO YA KUJIFUNZA)

Ubatizo ni Hatua Inayomuongoza Mutu Kwenye Uhusiano Muzuri Pamoja na Mungu (Sehemu ya 1)

Muongozo huu wa kujifunza unategemea sura ya 18 ya kitabu Biblia Inafundisha Kabisa Nini?

Sababu gani ubatizo ni jambo lenye linaombwa kwa Wakristo? Ni nini inaweza kuchochea Wakristo kubatizwa? Fikiria mambo Biblia inasema.