AMUKA! Mwezi wa 10, 2015 | Maulizo 3 Watu Wangependa Kuuliza Mungu

Watu wengi wako na mashaka juu ya dini na hawafurahishwe na majibu yenye inatoa juu ya maulizo magumu ya maisha. Lakini Biblia iko na majibu yenye kufurahisha juu ya maulizo yenye mara nyingi watu wanauliza.

HABARI KUBWA

Maulizo Tatu Watu Wangependa Kuuliza Mungu

Sababu gani tuko hapa duniani? Sababu gani Mungu anaacha watu wateseke? Sababu gani dini inajaa unafiki?

KITU HIKI KILIJIFANYA CHENYEWE?

Mujusi wa Miiba-Miiba Mwenye Ngozi Yenye Kukokota Maji

Namna gani mujusi huyo anakokota maji kupitia miguu yake na kuyafikisha katika kinywa chake?

MAWAZO YA BIBLIA

Mageuzi

Habari ya Biblia juu ya uumbaji inapingana na sayansi?

INCHI NA WATU

Kutembelea Inchi ya Uzibekistani

Ujifunze mengi juu ya Uzibekistani na historia ya alfabeti ya Wauzibeki yenye kubadilika-badilika.

MUSAADA KWA FAMILIA

Wakati Unalazimika Kurudia Nyumbani

Umepima kuishi maisha yako mwenyewe lakini umepatwa na magumu? Uanze tena kujitegemeza kwa kutumikisha mashauri haya.

Wakati Mutu Fulani Mwenye Unapenda Anagonjwa

Kuenda kuonana na waganga na kubakia kwenye hospitali kunaweza kuhangaisha akili. Namna gani unaweza kusaidia rafiki ao mutu wa jamaa apambane muzuri na hali ngumu?

HABARI FULANI ZA ULIMWENGU

Habari Fulani Juu ya Familia

Familia nyingi zinapambana na magumu gani? Zinaweza kupata wapi mashauri mazuri ya kuzisaidia?

Usikose Pia Kusoma Habari Hizi

“Yehova . . . Aliumba Vitu Vyote”

Unajua Mungu aliumba nani kwanza? Ujifunze pamoja na Caleb namna vitu vilifuatana wakati wa uumbaji.