MUNARA WA MULINZI—GAZETI YA FUNZO Mwezi wa 7, 2016

Gazeti hili liko na habari za kujifunza tarehe 29 Mwezi wa 8 mupaka tarehe 25 Mwezi wa 9, 2016.

Tafuta Ufalme, Usitafute Vitu vya Kimwili

Yesu anafasiria sababu gani tunapaswa kuzuia tamaa za kupenda vitu vya kimwili.

Sababu Gani Tunapaswa ‘Kuendelea Kukesha’?

Ikiwa hatuko waangalifu, mambo tatu yanaweza kutuzuia kuendelea kukesha.

Tuonyeshe Shukrani kwa Ajili ya Fazili za Mungu Zenye Hatustahili

Ni njia gani kubwa zaidi yenye Mungu ametumia ili kuonyesha wanadamu fazili zake zenye hawastahili?

Tangaza Habari Njema ya Fazili Zenye Hatustahili

Namna gani “habari njema ya Ufalme” inakazia fazili za Mungu zenye hatustahili?

“Usiogope. Nitakusaidia”

Yehova amejionyesha kuwa rafiki muaminifu wakati wa mahangaiko na taabu.

Maulizo ya Wasomaji Wetu

Vipande viwili vya muti vyenye viligeuka na kuwa kipande kimoja vyenye kuzungumuziwa katika Ezekieli sura ya 37, maana yake nini?