Ona video zinazopatikana

Mashahidi wa Yehova​—Watu Wanaotenda kwa Imani, Sehemu ya 2: Kuangaza Nuru

Wanafunzi wa Biblia walijikaza sana kutimiza amri ya Yesu ya ‘kufanya wanafunzi kutoka kwa watu wa mataifa yote.’ Kwa hiyo, kazi kubwa ilikuwa inawangojea. Kulikuwa pia na wapinzani wengi. Ujuzi wao wa Biblia ulipaswa kuendelea kukomaa. Imani yao ilipaswa pia kusafishwa. Sehemu ya pili ya video hizi inaonyesha namna Yehova ameongoza watu wake kuanzia mwaka wa 1922 mupaka sasa.