Mambo Yenye Unaweza Kujifunza Katika Biblia
Kitabu hiki kitakusaidia ujifunze historia, kuanzia uumbaji, kuzaliwa na utumishi wa Yesu, mupaka wakati ufalme utakuja.
Barua ya Baraza Lenye Kuongoza
Namna gani tunaweza kutumia hiki kitabu?
SOMO LA 1
Mungu Aliumba Mbingu na Dunia
Biblia inasema kama Mungu aliumba mbingu na dunia. Juu ya nini aliumba kwanza malaika mumoja mbele ya kuumba kila mutu na kila kitu?
SOMO LA 2
Mungu Aliumba Mwanaume na Mwanamuke wa Kwanza
Mungu aliumba mwanaume na mwanamuke wa kwanza na akawatia mu bustani ya Edeni. Alitaka waanzishe familia na wafanye dunia yote ikuwe paradiso.
SOMO LA 3
Adamu na Eva Wanakataa Kumutii Mungu
Juu ya nini muti moja ya mu bustani ya Edeni ilikuwa ya pekee? Juu ya nini Eva alikula tunda ya ile muti?
SOMO LA 4
Aliua Mudogo Wake Juu ya Kasirani
Mungu aliitika zabihu ya Abeli lakini alikataa zabihu ya Kaini. Wakati Kaini aliona vile, alikasirika sana na akafanya jambo la mubaya sana.
SOMA LA 5
Safina ya Noa
Wakati malaika wenye walifanya zambi walikuja ku dunia na kuoa wanamuke, walizaa watoto wenye walikuwa na nguvu sana. Mambo ya mubaya ilienea fasi yote. Lakini Noa alikuwa tofauti—alipenda Mungu na alimutii.
SOMO LA 6
Watu Munane Waliokoka Garika
Mvua ilinyesha mu siku 40 muchana na usiku. Noa na familia yake walibakia ndani ya safina zaidi ya mwaka moja. Kisha, Mungu aliwaambia watoke katika safina.
SOMO LA 7
Munara wa Babeli
Watu waliamua kujenga muji na munara wenye kufika mupaka mbinguni. Juu ya nini Mungu alifanya waseme luga za kuachana?
SOMO LA 8
Abrahamu na Sara Walimutii Mungu
Juu ya nini Abrahamu na Sara waliacha maisha yao ya muzuri na kuhamia mu inchi ya Kanaani?
SOMO LA 9
Wanapata Sasa Mutoto!
Namna gani Mungu alitimiza mambo yenye aliambia Abrahamu? Angefanya vile kupitia mutoto gani wa Abrahamu, Isaka ao Ishmaeli?
SOMO LA 10
Mukumbuke Bibi ya Loti
Mungu alifanya mvua ya moto na kiberiti inyeshe mu miji ya Sodoma na Gomora. Juu ya nini ile miji iliharibiwa? Juu ya nini tunapaswa kukumbuka bibi ya Loti?
SOMO LA 11
Imani Yake Inajaribiwa
Mungu aliambia Abrahamu: ‘Tafazali, ukamate mutoto wako wa pekee na umutoe zabihu ku mulima katika Moria.’ Namna gani Abrahamu alitenda mbele ya jaribu hilo la imani?
SOMO LA 12
Yakobo Alipata Uriti
Isaka na Rebeka walikuwa na watoto mapasa, Esau na Yakobo. Esau alizaliwa wa kwanza na yeye njo alipaswa kuwa na haki ya uriti. Juu ya nini aliuzisha ile haki kwa chakula?
SOMO LA 13
Yakobo na Esau Wanasikilizana
Namna gani malaika alimubariki Yakobo? Yakobo alifanya nini ili asikilizane na Esau?
SOMO LA 14
Mutumwa Mwenye Alimutii Mungu
Yosefu alifanya mambo ya muzuri, lakini aliteseka sana. Juu ya nini?
SOMO LA 15
Yehova Hakumusahau Yosefu Hata Kidogo
Hata kama Yosefu alikuwa mbali na familia yao, Mungu alimuonyesha kama alikuwa pamoja naye.
SOMO LA 17
Musa Alichagua Kumuabudu Yehova
Wakati alikuwa mutoto, Musa aliokolewa kwa sababu ya hekima ya mama yake.
SOMO LA 19
Mapigo Tatu ya Kwanza
Farao aliletea watu wake matatizo juu kiburi kilifanya akatae kufanya jambo moja tu.
SOMA LA 21
Pigo ya Kumi
Hii pigo ilikuwa mubaya sana na ilifanya Farao mwenye kiburi aache Waisraeli waende.
SOMO LA 22
Muujiza ku Bahari Nyekundu
Farao alipona wakati wa ile mapigo kumi, lakini je, aliokoka muujiza huu wa Mungu?
SOMO LA 23
Waisraeli Wanamutolea Yehova Ahadi
Waisraeli walimutolea Mungu ahadi ya pekee wakati walitia kambi ku Mulima Sinai.
SOMO LA 24
Walishindwa Kutimiza Ahadi Yao
Wakati Mungu alikuwa anapatia Musa zile Amri Kumi, watu walikuwa wanatenda zambi nzito sana.
Wapelelezi 12
Namna gani ripoti ya Yoshua na Kalebu ilikuwa tofauti na ya wale wapelelezi wengine kumi wenye walipeleleza inchi ya Kanaani.
SOMO LA 27
Walimuasi Yehova
Kora, Datani, Abiramu, na wanaume wengine 250 walikosa kutambua jambo fulani La maana kumuhusu Yehova.
SOMO LA 30
Rahabu Alificha Wapelelezi
Kuta za Yeriko zilianguka. Lakini nyumba ya Rahabu haikuanguka, hata kama ilikuwa imejengwa ku ukuta.
SOMO LA 31
Yoshua na Wagibeoni
Yoshua alisali kwa Mungu na kusema: “Jua, simama bila kutikisika!” Je, Mungu alijibu?
SOMO LA 32
Kiongozi Mupya na Wanamuke Mbili Wenye Uhodari
Kisha Yoshua kufa, Waisraeli walianza kuabudu sanamu. Maisha ilikuwa nguvu, lakini Yehova aliwasaidia kupitia muamuzi Baraka, nabii mwanamuke Debora, na Yaeli!
SOMO LA 33
Rutu na Naomi
Wanamuke wawili wenye bwana zao walikufa walirudia Israeli. Rutu, mumoja kati ya wale wanamuke, alienda kufanya kazi mu shamba, na kule Boazi akamuona.
SOMO LA 34
Gideoni Alishinda Wamidiani
Kisha Wamidiani kutesa Waisraeli, watu walianza kumulilia Yehova awasaidie. Namna gani maaskari kidogo wa Gideoni waliweza kushinda maaskari 135000 Wamidiani?
SOMO LA 35
Hana Anasali Apate Mutoto Mwanaume
Elkana, Hana, Penina, na watoto wao walienda kuabudu ku tabenakulo kule Shilo. Wakati wako kule, Hana anasali apate mutoto. Mwaka wa kufuata, Samweli anazaliwa!
SOMO LA 36
Ahadi ya Yefta
Yefta alitoa ahadi gani, na juu ya nini? Binti ya Yefta alifanya nini kisha kujua ahadi ya baba yake?
SOMO LA 37
Yehova Anazungumuza na Samweli
Kuhani Mukubwa Eli alikuwa na watoto mbili wanaume wenye walikuwa makuhani ku tabenakulo, lakini hawakutii sheria za Yehova. Kijana Samweli hakukuwa vile, na Yehova alizungumuza naye.
SOMO LA 38
Yehova Alipatia Samsoni Nguvu
Mungu alipatia Samsoni nguvu mingi juu apigane na Wafilisti, lakini wakati Samsoni alikamata uamuzi wa mubaya, Wafilisti walimukamata.
SOMA LA 39
Mufalme wa Kwanza wa Israeli
Yehova alikuwa amepatia Waisraeli waamuzi wa kuwaongoza, lakini wao waliomba wakuwe na mufalme. Samweli alitia Sauli mafuta juu akuwe mufalme wa kwanza wa Israeli, lakini kisha wakati fulani Yehova alikataa Sauli. Juu ya nini?
SOMO LA 40
Daudi na Goliati
Yehova anachagua Daudi akuwe mufalme wa pili wa Israeli, na Daudi anaonyesha juu ya nini alistahili kuchaguliwa.
SOMO LA 41
Daudi na Sauli
Juu ya nini mwanaume mumoja alichukia mwenzake, na ule mwenye alichukiwa alitenda namna gani?
SOMO LA 42
Yonatani Alikuwa Hodari na Mushikamanifu
Mutoto wa mufalme alikuwa rafiki wa sana wa Daudi.
SOMO LA 44
Sulemani Anajengea Yehova Hekalu
Mungu alikubali ombi la Mufalme Sulemani na alimupatia mapendeleo makubwa.
SOMO LA 49
Malkia Muovu Anapata Malipizi
Yezebeli anafanya mipango ya mubaya ya kumuua Naboti juu amunyanganye shamba lake la mizabibu! Yehova Mungu anaona uovu wa Yezebeli na tendo lake la kukosa haki.
SOMO LA 50
Yehova Anasaidia Yehoshafati
Yehoshafati mufalme muzuri anasali kwa Mungu wakati mataifa adui inaogopesha Yuda.
SOMO LA 51
Mupiganaji-vita na Mutoto Mudogo Mwanamuke
Mutoto mwanamuke Mwisraeli alielezea bibi ya bwana mukubwa wake kuhusu nguvu za Yehova, na Naamani aliponyeshwa kwa njia ya muujiza.
SOMO LA 52
Jeshi la Yehova Lenye Farasi na Magari ya Vita ya Moto
Namna mutumishi wa Elisha aliona kwamba ‘wale wenye kuwa pamoja na sisi ni wengi kuliko wale wenye kuwa pamoja nao.’
SOMO LA 54
Yehova Alivumilia Yona
Ni jambo gani lilifanya nabii mumoja wa Mungu amezwe na samaki kubwa? Namna gani alitoka mu tumbo la ile samaki? Na Yehova alimufundisha nini?
SOMO LA 55
Malaika wa Yehova Alilinda Hezekia
Maadui wa Yuda walisema kama Yehova hatalinda watu wake, lakini walijidanganya!
SOMO LA 56
Yosia Alipenda Sheria ya Mungu
Yosia aliwekwa kuwa mufalme wakati alikuwa na miaka munane, na alisaidia watu wake wamuabudu Yehova.
SOMO LA 57
Yehova Anatuma Yeremia Aende Kuhubiri
Mambo yenye huyu nabii kijana alisema iliwafanya wazee wa Yuda wakasirike sana.
SOMO LA 58
Yerusalemu Inaharibiwa
Watu wa Yuda waliendelea kuabudu miungu ya uongo, njo maana Yehova aliwaacha.
SOMO LA 59
Vijana Ine Wenye Walimutii Yehova
Vijana Wayudea waliazimia kubakia waaminifu kwa Yehova hata wakati walikuwa mu nyumba ya mufalme kule Babiloni.
SOMO LA 60
Ufalme Wenye Utaendelea Milele
Danieli anafasiria maana ya ndoto ya kushangaza ya Nebukadneza.
SOMO LA 61
Walikataa Kuinamia Sanamu
Shadraki, Meshaki, na Abednego wanakataa kuabudu sanamu ya zahabu ya mufalme wa Babiloni.
SOMO LA 62
Ufalme Wenye Uko Sawa Muti Mukubwa
Ndoto ya Nebukadneza inaonyesha mambo yenye itamupata.
SOMO LA 63
Maneno Inaandikwa Kwenye Ukuta
Maneno yenye haieleweke inaandikwa ku ukuta wakati gani, na inamaanisha nini?
SOMO LA 64
Danieli Anatupwa Ndani ya Shimo la Simba
Ukuwe unasali kwa Yehova kila siku, sawa vile Danieli alikuwa anafanya!
SOMO LA 65
Esta Anaokoa Watu Wake
Hata kama alikuwa yatima kutoka inchi ingine, alifikia kuwa malkia.
SOMO LA 66
Ezra Alifundisha Watu Sheria ya Mungu
Kisha Waisraeli kumusikiliza Ezra, walimutolea Mungu ahadi fulani ya pekee.
SOMO LA 67
Kuta za Yerusalemu
Wakati Nehemia alivumbua kama maadui wake walitaka kuwashambulia, juu ya nini hakuogopa?
SOMO LA 68
Elizabeti Anakuwa na Mutoto
Juu ya nini bwana ya Elizabeti aliambiwa kwamba hangeweza tena kusema mupaka wakati mutoto atazaliwa?
SOMO LA 70
Malaika Wanatangaza Kama Yesu Amezaliwa
Wachungaji wenye walisikia ile tangazo walitenda haraka.
SOMO LA 73
Yohana Anatayarisha Kuja kwa Masiya
Wakati Yohana alikomaa, akakuwa nabii. Alifundisha kama Masiya anakaribia kuja. Watu walifanya nini wakati walisikia mafundisho yake?
SOMO LA 74
Yesu Anakuwa Masiya
Yohana anamaanisha nini wakati anasema kama Yesu njo Mwana-Kondoo wa Mungu?
SOMO LA 75
Ibilisi Anamujaribu Yesu
Ibilisi anamujaribu Yesu mara tatu. Anamujaribu namna gani? Yesu anatenda namna gani?
SOMO LA 76
Yesu Anasafisha Hekalu
Juu ya nini Yesu anafukuza wanyama inje ya hekalu na kupindua meza za wenye wako wanabadilisha feza?
SOMO LA 77
Mwanamuke Kwenye Kisima
Mwanamuke Musamaria anashangaa wakati Yesu anazungumuza naye. Juu ya nini? Yesu anamuambia jambo gani lenye alikuwa hajaambiaka mutu mwingine?
SOMO LA 78
Yesu Anahubiri Habari ya Ufalme
Yesu anaalika wanafunzi wake fulani wakuwe ‘wavuvi wa watu.’ Kisha, anachagua wafuasi 70 ili wahubiri habari njema.
SOMO LA 79
Yesu Anafanya Miujiza Mingi
Kila fasi kwenye Yesu anaenda, wagonjwa wanakuja kumuona juu awasaidie, na anawaponyesha. Hata anamufufua mutoto mwanamuke.
SOMO LA 81
Mahubiri Kwenye Mulima
Yesu anafundisha watu mingi wenye walikusanyika pembeni ya mulima mambo ya maana sana.
SOMO LA 82
Yesu Anafundisha Wanafunzi Wake Namna ya Kusali
Yesu anawaambia wanafunzi wake waendelee kuomba mambo gani?
SOMO LA 84
Yesu Anatembea Juu ya Maji
Unaweza kuwazia namna mitume wanajisikia wakati wanaona ule muujiza?
SOMO LA 85
Yesu Anaponyesha Mutu Siku ya Sabato
Juu ya nini haiko watu wote njo wanafurahia mambo yenye Yesu iko anafanya?
SOMO LA 86
Yesu Anamufufua Lazaro
Wakati Yesu anaona namna Maria iko analia, yeye pia anaanza kulia. Lakini huzuni yao iligeuka kuwa furaha.
SOMO LA 87
Pasaka ya Mwisho ya Yesu
Yesu anapatia mitume wake maagizo ya maana wakati iko anakula chakula pamoja nao kwa mara ya mwisho.
SOMO LA 88
Yesu Anakamatwa
Yuda Iskariote anaongoza watu mingi wenye wako na fimbo na mipanga juu wamukamate Yesu.
SOMO LA 89
Petro Anamukana Yesu
Ni nini ilifanyika mu kiwanja cha nyumba ya Kayafa? Namna gani walitendea Yesu ndani ya nyumba?
SOMO LA 93
Yesu Anarudia Mbinguni
Lakini mbele ya kurudia, anapatia wanafunzi wake maagizo fulani ya maana sana.
SOMO LA 94
Wanafunzi Wanapokea Roho Takatifu
Roho takatifu iliwapatia nguvu gani kwa njia ya muujiza?
SOMO LA 95
Hakuna Kitu Kingeweza Kuwazuia Kuhubiri
Viongozi wa dini wenye walifanya Yesu auawe, wanajaribu sasa kunyamazisha wanafunzi. Lakini hawawezi.
SOMO LA 97
Kornelio Anapokea Roho Takatifu
Juu ya nini Mungu anamutuma Petro ku nyumba ya ule mwanaume , mwenye haiko Muyahudi?
SOMO LA 98
Ukristo Unaenea Katika Mataifa Mingi
Mutume Paulo na wamisionere wenzake wanaanza kuhubiri mu maeneo ya mbali.
SOMO LA 99
Mulinzi wa Gereza Anajifunza Kweli
Hii hadisi inahusu namna gani pepo muchafu, tetemeko la inchi, na upanga?
SOMO LA 100
Paulo na Timoteo
Wale wanaume wawili wanatumika pamoja, na walikuwa marafiki kwa miaka mingi.
SOMO LA 101
Paulo Anapelekwa Roma
Safari imejaa hatari, lakini hakuna tatizo lenye linaweza kumuzuia huyu mutume.
SOMO LA 103
‘Ufalme Wako Ukuje’
Ufunuo wenye Yohana alipewa unaonyesha namna Ufalme wa Mungu utabadilisha maisha ku dunia.