Habari za Ulimwenguni Pote
Ripoti ya 3 ya Baraza Linaloongoza ya 2024
Katika ripoti hii, tutachunguza kanuni za Biblia zinazotuongoza tunapofanya maamuzi kuhusu mavazi na mapambo.
Ripoti ya 2 ya Baraza Linaloongoza ya 2024
Katika ripoti hii, tutachunguza jinsi Baba yetu mwenye upendo, Yehova, anavyoonyesha kwamba ‘anataka wote wafikie toba.” (2 Pet. 3:9) Pia tutajifunza kuhusu marekebisho kuhusu mavazi yetu kwenye matukio ya kitheokrasi.
Ripoti ya 1 ya Baraza Linaloongoza ya 2024
Jifunze jinsi kuwapenda watu kunavyotufanya tuwe na bidii katika huduma yetu.
Ripoti ya 8 ya Baraza Linaloongoza ya 2023
Jifunze jinsi tunavyoweza kujipendekeza kuwa wahudumu wa Mungu kupitia maamuzi tunayofanya kuhusu mavazi na mapambo na jinsi tunavyoweza kuendeleza umoja kutanikoni.
Ripoti ya 7 ya Baraza Linaloongoza ya 2023
Jifunze kuhusu chapisho jipya lenye kichwa Maandiko kwa Ajili ya Maisha ya Mkristo na pia andiko la mwaka wa 2024.