Hamia kwenye habari

Mafundisho ya Biblia

Biblia inatoa mashauri bora zaidi katika maisha, hasa kuhusiana na maswali magumu. Thamani yake imethibitika kwa karne nyingi. Habari hii itakusaidia kuona jinsi mashauri ya Biblia yalivyo yenye thamani.—2 Timotheo 3:16, 17.

Zinazoangaziwa

MAJIBU YA MASWALI YA BIBLIA

Wanawake Katika Biblia​—Tunaweza Kujifunza Nini Kutoka Kwao?

Ona tofauti iliyopo kati ya wanawake wa hawa pekee katika Biblia na wengine walio waovu kabisa.

MAJIBU YA MASWALI YA BIBLIA

Wanawake Katika Biblia​—Tunaweza Kujifunza Nini Kutoka Kwao?

Ona tofauti iliyopo kati ya wanawake wa hawa pekee katika Biblia na wengine walio waovu kabisa.

Jifunze Biblia

Jaribu Funzo Letu la Biblia

Pata mafunzo ya Biblia ukiongozwa na mwalimu.

Omba Utembelewe

Zungumzia swali la Biblia, au ujifunze mengi zaidi kuhusu Mashahidi wa Yehova.

Vifaa vya Kujifunzia Biblia

Chagua habari za kujifunzia Biblia zitakazofanya funzo lako liwe lenye kuridhisha na lenye kuchochea.

Biblia Inaweza Kukusaidiaje?

Amani na Furaha

Biblia imewasaidia watu wengi kukabiliana na mikazo ya kila siku, kupunguza mkazo wa kimwili na kihisia, na kupata maana na kusudi maishani.

Imani Katika Mungu

Imani inaweza kukusaidia uwe imara sasa na uwe na tumaini lenye kutegemeka la wakati ujao.

Ndoa na Familia

Wenzi wa ndoa na washiriki wa familia wanakabili changamoto nyingi. Ushauri wa Biblia unaweza kuboresha na kuimarisha uhusiano katika familia.

Msaada kwa Ajili ya Matineja

Jifunze jinsi Biblia inavyoweza kuwasaidia matineja kukabiliana na changamoto wanazokabili mara nyingi.

Mazoezi ya Watoto

Tumia mazoezi haya yenye kufurahisha yanayotegemea Biblia kuwafundisha watoto wako kanuni za kiroho.

Biblia Inasema Nini?

Majibu ya Maswali ya Biblia

Jifunze majibu ya Biblia ya maswali kuhusu Mungu, Yesu, familia, kuteseka, na maswali mengine.

Mistari ya Biblia Yafafanuliwa

Tafuta maana halisi ya mistari na misemo fulani ya Biblia inayojulikana sana.

Historia na Biblia

Soma historia ya jinsi tulivyopata Biblia. Chunguza uthibitisho wa usahihi wa kihistoria na kwamba inategemeka.

Sayansi na Biblia

Je, Biblia inapatana na sayansi? Kulinganisha kile ambacho Biblia inasema na uvumbuzi wa wanasayansi kunafunua mengi.