Habari
TAARIFA ZA HABARI
Wanaona Mkono wa Yehova Wakiwa Mahabusu
TAARIFA ZA HABARI
Wanaona Mkono wa Yehova Wakiwa Mahabusu
Ripoti ya 2 ya Baraza Linaloongoza ya 2024
Katika ripoti hii, tutachunguza jinsi Baba yetu mwenye upendo, Yehova, anavyoonyesha kwamba ‘anataka wote wafikie toba.” (2 Pet. 3:9) Pia tutajifunza kuhusu marekebisho kuhusu mavazi yetu kwenye matukio ya kitheokrasi.
Inaonyesha tokeo la 1 - 15 kati ya matokeo 1,612
Mashahidi wa Yehova Walio Gerezani kwa Sababu ya Imani Yao—Kulingana na Eneo
Nchi ambazo Mashahidi wa Yehova wamefungwa gerezani, na nyakati nyingine katika mazingira magumu, kwa sababu ya imani yao na kutumia uhuru wao wa msingi wa kibinadamu.