Hamia kwenye habari

Miongozo ya Kujifunza

Pakua miongozo hii ya kujifunza, na uitumie pamoja na kitabu Biblia Inafundisha Nini Hasa? Chunguza mambo unayoamini, ona yale ambayo Biblia inafundisha, na ujifunze jinsi ya kutetea imani yako.

SURA YA 1

Ukweli Kumhusu Mungu (Sehemu ya 1)

Ungemjibuje mtu anayesema “Mungu huwaadhibu watu wabaya kwa kuwatesa?”

SURA YA 1

Ukweli Kumhusu Mungu (Sehemu ya 2)

Je, kweli inawezekana kuwa rafiki ya Mungu?

SURA YA 2

Biblia​—Kitabu Kutoka kwa Mungu (Sehemu ya 1)

Wanadamu waliandika Biblia, hivyo inawezaje kuwa ‘kitabu kutoka kwa Mungu’?

SURA YA 2

Biblia​—Kitabu Kutoka kwa Mungu (Sehemu ya 2)

Kuna jambo moja kuhusu Biblia ambalo huwasadikisha watu kwamba lazima Biblia iwe imetoka kwa Mungu.

SURA YA 3

Mungu Ana Kusudi Gani kwa Dunia? (Sehemu ya 1)

Je, alikusudia mambo yawe jinsi yalivyo leo?

SURA YA 3

Mungu Ana Kusudi Gani kwa Dunia? (Sehemu ya 2)

Ikiwa kusudi la Mungu ni dunia iwe paradiso, mbona leo dunia si paradiso leo?

SURA YA 3

Mungu Ana Kusudi Gani kwa Dunia? (Sehemu ya 3)

Je Mungu anakusudia wanadamu waondoe matatizo duniani?

SURA YA 4

Yesu Kristo Ni Nani? (Sehemu ya 1)

Unaweza kumjibuje mtu anayesema kwamba Yesu alikuwa mtu mzuri tu?

SURA YA 4

Yesu Kristo Ni Nani? (Sehemu ya 2)

Unaweza kumjibuje mtu anayesema kwamba Yesu analingana na Mungu?

SURA YA 4

Yesu Kristo Ni Nani? (Sehemu ya 3)

Alionyeshaje sifa ya nguvu na ya upole kwa njia iliyosawazika?

SURA YA 5

Fidia—Zawadi Bora Zaidi Kutoka kwa Mungu (Sehemu ya 1)

Je, tunaweza kujipatia ukombozi kupitia matendo ya imani?

SURA YA 5

Fidia—Zawadi Bora Zaidi Kutoka kwa Mungu (Sehemu ya 2)

Kifo cha mtu mmoja kilichotokea maelfu ya miaka iliyopita kinaweza kuathirije maisha yako leo?

SURA YA 6

Wafu Wako Wapi? (Sehemu ya 1)

Je, wanaishi katika makao mengi? Je, wanateseka kwenye moto wa mateso?

SURA YA 6

Wafu Wako Wapi? (Sehemu ya 2)

Je, kifo ni sehemu ya maisha?

SURA YA 7

Tumaini Hakika kwa Wapendwa Wako Waliokufa (Sehemu ya 1)

Je, kuhuzunika kunamaanisha kwamba umekosa imani katika tumaini la ufufuo?

SURA YA 7

Tumaini Hakika kwa Wapendwa wako Waliokufa (Sehemu ya 2)

Unawezaje kumsaidia mtu ambaye ana mashaka kwamba kutakuwa na ufufuo?

SURA YA 8

Ufalme wa Mungu Ni Nini? (Sehemu ya 1)

Kwa nini Mungu amewachagua wanadamu wawe wafalme mbinguni ingawa kuna malaika wengi waaminifu?

SURA YA 8

Ufalme wa Mungu Ni Nini? (Sehemu ya 2)

Umetimiza nini? Utatimiza nini wakati ujao?

SURA YA 9

Je, Tunaishi Katika “Siku za Mwisho”? (Sehemu ya 1)

Baadhi ya watu hawaamini kwamba tunaishi katika siku za mwisho. Ni mambo gani yanayokuhakikishia kwamba mwisho wa mfumo huu wa mambo unakaribia?

SURA YA 9

Je, Tunaishi Katika “Siku za Mwisho”? (Sehemu ya 2)

Biblia inataja kuhusu mambo mazuri kuhusu siku za mwisho.

SURA YA 10

Jinsi Viumbe wa Roho Wanavyohusika Maishani Mwetu (Sehemu ya 1)

Je, malaika ni viumbe halisi? Je, kuna malaika wabaya? Tumia mwongozo huu wa kujifunza ili upate majibu.

SURA YA 10

Jinsi Viumbe wa Roho Wanavyohusika Maishani Mwetu (Sehemu ya 2)

Je, ni vibaya kuwasiliana na ulimwengu wa roho?

SURA YA 11

Kwa Nini Mungu Anawaacha Watu Wateseke? (Sehemu ya 1)

Ikiwa Mungu ni mwenye nguvu zote, basi si mambo yote mabaya yanayotokea ni kosa lake?

SURA YA 11

Kwa Nini Mungu Anawaacha Watu Wateseke? (Sehemu ya 2)

Maandiko yanatoa majibu yaliyo wazi na yenye kuridhisha ya swali hili gumu.

SURA YA 12

Kuishi Maisha Yanayompendeza Mungu (Sehemu ya 1)

Unaweza kuwa rafiki ya Mungu? Chunguza mambo unayoamini na sababu za kuamini mambo hayo, na chunguza kile ambacho Biblia inafundisha.

SURA YA 12

Kuishi Maisha Yanayompendeza Mungu (Sehemu ya 2)

Je, tunaweza kumpendeza Mungu licha ya Shetani kujaribu kutusababishia matatizo?

SURA YA 12

Kuishi Maisha Yanayompendeza Mungu (Sehemu ya 3)

Tunahitaji kufanya jitihada nyingi ili kupatanisha maisha yetu na viwango vya Mungu. Je, jitihada hizo zina faida?

SURA YA 13

Maoni ya Mungu Kuhusu Uhai (Sehemu ya 1)

Uhai ni zawadi kutoka kwa Mungu. Tunaweza kuonyeshaje kwamba tunaheshimu uhai wetu na wa wengine?

SURA YA 13

Maoni ya Mungu Kuhusu Uhai (Sehemu ya 2)

Mwongozo huu wa kujifunza utakusaidia kuchunguza imani yako kuhusu kutiwa damu mishipani na matumizi ya damu, pia utakusaidia kuwaeleza wengine imani yako.

SURA YA 14

Jinsi ya Kufanya Maisha ya Familia Yako Yawe Yenye Furaha (Sehemu ya 1)

Ni mambo gani yanayofanya ndoa iwe yenye furaha? Chunguza mambo unayoamini, chunguza mafundisho ya Biblia, na ujifunze jinsi ya kuwaeleza wengine imani yako kupitia mwongozo huu.

SURA YA 14

Jinsi ya Kufanya Maisha ya Familia Yako Yawe Yenye Furaha (Sehemu ya 2)

Wazazi na watoto wanaweza kunufaikaje na mfano uliowekwa na Yesu? Chunguza mambo unayoamini pamoja na maoni ya Biblia.

SURA YA 15

Ibada Ambayo Mungu Anakubali (Sehemu ya 1)

Je, dini zote zinampendeza Mungu? Ikiwa sivyo, unaweza kuitambuaje dini ya kweli? Chunguza mambo ambayo Biblia inafundisha na ulinganishe na yale unayoamini.

SURA YA 15

Ibada Ambayo Mungu Anakubali (Sehemu ya 2)

Je, inatosha tu kumwamini Mungu? Au Mungu angependa waabudu wake wafanye mambo mengine zaidi ya kumwamini tu?

SURA YA 16

Chukua Msimamo Upande wa Ibada ya Kweli (Sehemu ya 1)

Je, Mungu anazikubali sherehe za kuzaliwa, sherehe za kidini na kutumia sanamu katika ibada? Ni kanuni gani za Biblia zinazohusika?

SURA YA 16

Chukua Msimamo Upande wa Ibada ya Kweli (Sehemu ya 2)

Unawezaje kuelezea imani yako kwa busara na kuheshimu maoni ya wengine?

SURA YA 17

Mkaribie Mungu Katika Sala (Sehemu ya 1)

Unawezaje kuwa rafiki ya Mungu? Unawezaje kujua kwamba Mungu husikiliza sala zako?

SURA YA 17

Mkaribie Mungu Katika Sala (Sehemu ya 2)

Ona kile ambacho Biblia inasema kuhusu jinsi ya kusali na wakati wa kusali.

SURA YA 17

Mkaribie Mungu Katika Sala (Sehemu ya 3)

Biblia inafundisha kwamba Mungu anajibu sala zetu kwa njia mbalimbali. Yehova anajibu sala zako jinsi gani na lini?

SURA YA 18

Ubatizo na Uhusiano Wako Pamoja na Mungu (Sehemu ya 1)

Kwa nini ubatizo ni takwa kwa Mkristo? Ni nini kinachopaswa kuwachochea Wakristo wabatizwe?

SURA YA 18

Ubatizo na Uhusiano Wako Pamoja na Mungu (Sehemu ya 2)

Ni hatua gani ambazo Mkristo anapaswa kuchukua kabla ya kujiweka wakfu kwa Yehova? Kujiweka wakfu kunaathirije maamuzi yake yote ya wakati ujao?

SURA YA 18

Ubatizo na Uhusiano Wako Pamoja na Mungu (Sehemu ya 3)

Mkristo aliyejiweka wakfu kwa Mungu anatarajiwa afanye nini? Na kwa nini watu wanaompenda Mungu kikweli wana uhakika kwamba wanaweza kuishi kupatana na wakfu wao?

SURA YA 19

Kaa Katika Upendo wa Mungu (Sehemu ya 1)

Unaweza kudumishaje uhusiano wa karibu pamoja na Yehova? Mwongozo huu wa kujifunza unaweza kukusaidia kuchunguza mambo unayoamini na kuwaeleza wengine.

SURA YA 19

Kaa Katika Upendo wa Mungu (Sehemu ya 2)

Baada ya kupata ujuzi kumhusu Mungu, ni jambo gani litakalokusaidia kudumisha upendo wako kwake na kumkaribia zaidi?