Hamia kwenye habari

Yehova Aliendelea Kuonyesha Upendo Mshikamanifu

Ona jinsi Yosefu alivyoonyesha upendo wake kwa Mungu na kwa wengine licha ya matatizo na jinsi alivyohisi upendo wa Yehova katika majaribu yake yote. Simulizi linategemea kitabu cha Mwanzo 37:1-36; 39:1–47:12.