Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Mei 2-8

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

  • Mbinu ya Vita ya Daudi”: (Dak. 10)

  • Hazina za Kiroho: (Dak. 10)

    • 1Sa 28:15​—Sauli “alimwona” nani katika pindi hii? (w10 1/1 20 ¶5-6)

    • Umepata hazina gani za kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili kumhusu Yehova, au ambazo ungependa kutumia katika utumishi wa shambani, au jambo lingine?

  • Usomaji wa Biblia: (Dak. 4) 1Sa 27:1-12 (th somo la 5)

BORESHA HUDUMA YAKO

MAISHA YA MKRISTO

  • Wimbo 129

  • Kuwa Imara Licha ya Upinzani: (Dak. 15) Mazungumzo. Onyesha video. Kisha waulize wasikilizaji maswali yafuatayo: Tunajifunza nini kutokana na mfano wa ndugu walioishi Ujerumani wakati wa Wanazi? Tunajifunza nini kutokana na mfano wa ndugu zetu nchini Urusi na walioishi wakati wa Muungano wa Sovieti?

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) lff somo la 02

  • Umalizio (Dak. 3)

  • Wimbo 94 na Sala