AMKENI! Februari 2015 | Je, Biblia Ina Faida Leo?

Tafadhali chunguza kanuni nne muhimu zinazopatikana kwenye Biblia, na faida ya kanuni hizo katika maisha yako.

HABARI KUU

Je, Biblia Ina Faida Leo?

Hilton alipoondoka nyumbani, wazazi wake walifikiri asingeweza kubadilika. Lakini, aliporudi nyumbani baada ya miaka 12, Wazazi wake hawakuamini macho yao. Ni nini kilichomfanya abadilike?

HABARI KUU

Viwango Vinavyomfaa Kila Mtu, Nyakati Zote—Unyoofu

Raquel, angeweza kupata pesa kwa kukubali kuhongwa, lakini anahisi amepata jambo bora zaidi kuliko pesa hizo.

HABARI KUU

Viwango Vinavyomfaa Kila Mtu, Nyakati Zote—Kujizuia

Ni nini kilichomsaidia mwanamume anayeitwa Cassius kudhibiti hasira yake?

HABARI KUU

Viwango Vinavyomfaa Kila Mtu, Nyakati Zote—Uaminifu

Mwanamke mmoja alijifunza kupitia makosa yake umuhimu wa kuwa mwaminifu kwa mume wake. Je, alifaulu kuokoa ndoa yake?

HABARI KUU

Viwango Vinavyomfaa Kila Mtu, Nyakati Zote—Upendo

Upendo unaotajwa mara nyingi katika Biblia si ule wa kimahaba au kimapenzi.

KUUTAZAMA ULIMWENGU

Kuchunguza Afya

Habari za hivi karibuni zinathibitisha usahihi wa Biblia kuhusu afya

Hekima Ni Ulinzi

Ni nini maana ya methali ya Biblia inayosema: “Fidia ya nafsi ya mtu ni utajiri wake, lakini maskini hajasikia kemeo”?

KUTOKA KWA WASOMAJI WETU

Mtoto Wako Anapokuuliza Kuhusu Kifo

Mambo manne yanayoweza kukusaidia kujua jinsi ya kumjibu mtoto wako na kumsaidia kukubaliana na kifo kinapotokea

MAHOJIANO

Kwa Nini Kasisi Alibadili Dini?

Soma kuhusu jitihada za Antonio Della Gatta za kumtafuta Mungu.

MAONI YA BIBLIA

Masihi

Je, wajua Biblia ilitabiri kwamba Masihi angeuawa kabla ya kukamilisha majukumu yake?

JE, NI KAZI YA UBUNI?

Ncha za Mabawa ya Ndege Wanaopaa Angani

Kwa kuiga muundo wa mabawa ya ndege, wahandisi wameokoa lita milioni 7600 za mafuta ya ndege katika kipindi cha mwaka mmoja.

Habari Zaidi Mtandaoni

Tumia Mitandao ya Kijamii kwa Hekima

Furahia kuungana na marafiki kwenye Intaneti huku ukihakikisha uko salama.

Unafurahi Unapotoa

Kuna njia nyingi za kuwapa watu. Unaweza kufikiria baadhi ya njia hizo?