Hamia kwenye habari

HABARI ZA ULIMWENGUNI POTE

Mashahidi wa Yehova Walio Gerezani kwa Sababu ya Imani Yao​—Kulingana na Eneo

Mashahidi wa Yehova Walio Gerezani kwa Sababu ya Imani Yao​—Kulingana na Eneo

Mashahidi wa Yehova walio gerezani kwa sababu ya imani yao kufikia Aprili 2024

ENEO

IDADI

SABABU

Crimea

12

  • Utendaji wa kidini

Eritrea

36

  • Utendaji wa kidini

  • Sababu zisizofahamika

Urusi

117

  • Utendaji wa kidini

Singapore

11

  • Kukataa kujiunga na jeshi kwa sababu ya dhamiri

Nchi Nyingine

Zaidi ya 21

  • Utendaji wa kidini

Jumla

Zaidi ya 197

 

Kulingana na Kifungu cha 18 cha Mkataba wa Kimataifa wa Haki za Kiraia na Kisiasa, “haki ya kuwa na uhuru wa kufikiri, wa dhamiri, na wa kidini” ni haki ya msingi ya kibinadamu. a Hata hivyo, katika baadhi ya nchi Mashahidi wa Yehova wananyimwa haki hiyo ya msingi na kufungwa gerezani isivyo haki hata kutendewa kikatili. Wengi wao wamefungwa gerezani kwa sababu tu ya imani yao. Na wengine wamefungwa kwa kukataa kujiunga na jeshi kwa sababu ya dhamiri.

a Ona pia Azimio la Watu Wote la Haki za Kibinadamu la Umoja wa Mataifa, Kifungu cha 18, na Mkataba wa Ulaya Kuhusu Haki za Kibinadamu, Kifungu cha 9.