Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Ishi Milele

Ishi Milele

Pakua:

  1. 1. Kwa kweli, si rahisi—

    Kuishi tofauti—

    Na kutenda mambo mema.

    (KIBWAGIZO)

    Na Yehova atuambia: Tuache ulimwengu.

    Anaahidi Paradiso.

    (KORASI)

    Simama; imara.

    Yehova yuko nawe; kukupa nguvu.

    Sali kwa bidi’

    Ushinde hali ngumu katika njia.

    Usiwaze leo; ishi milele.

  2. 2. Watu watakusifu—

    Kukweza jina lako,

    Ufanywe mashuhuri.

    (KIBWAGIZO)

    Usifuate upepo, mtegemee Yehova.

    Anaahidi Paradiso.

    (KORASI)

    Simama; imara.

    Yehova yuko nawe; kukupa nguvu.

    Sali kwa bidi’

    Ushinde hali ngumu katika njia.

    Usiwaze leo; ishi milele.

    (KORASI)

    Simama; imara.

    Yehova yuko nawe; kukupa nguvu.

    Sali kwa bidi’

    Ushinde hali ngumu katika njia.

    Usiwaze leo; ishi milele.