Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Jumla Kuu 2016

Jumla Kuu 2016
  • Ofisi za Tawi za Mashahidi wa Yehova: 89

  • Idadi ya Nchi Zinazoripoti: 240

  • Idadi ya Makutaniko: 119,485

  • Hudhurio la Ukumbusho: 20,085,142

  • Waliokula Mkate na Kunywa Divai Ulimwenguni Pote: 18,013

  • Kilele cha Wahubiri wa Ufalme: 8,340,847

  • Wastani wa Wahubiri Watendaji Kila Mwezi: 8,132,358

  • Asilimia ya Ongezeko Kupita 2015: 1.8

  • Idadi ya Waliobatizwa: 264,535

  • Wastani wa Mapainia Wasaidizi Kila Mwezi: 459,393

  • Wastani wa Mapainia Kila Mwezi: 1,157,017

  • Jumla ya Saa Zilizotumiwa Shambani: 1,983,763,754

  • Wastani wa Mafunzo ya Biblia Kila Mwezi: 10,115,264

Katika mwaka wa utumishi wa 2016, Mashahidi wa Yehova walitumia zaidi ya dola milioni 213 za Marekani kuwatunza mapainia wa pekee, wamishonari, na waangalizi wa mzunguko katika migawo yao ya utumishi wa shambani. Ulimwenguni pote, kuna wahudumu 19,818 waliowekwa rasmi kufanya kazi katika ofisi za tawi. Wote hao ni washiriki wa Kikundi cha Ulimwenguni Pote cha Watumishi wa Pekee wa Wakati Wote cha Mashahidi wa Yehova.