Hamia kwenye habari

Makutaniko ya Mashahidi wa Yehova Yamepangwa Jinsi Gani?

Makutaniko ya Mashahidi wa Yehova Yamepangwa Jinsi Gani?

 Baraza la wazee husimamia kila kutaniko. Makutaniko 20 hivi hufanyiza mzunguko. Makutaniko hutembelewa mara kwa mara na wazee wanaosafiri, wanaoitwa waangalizi wa mzunguko.

 Mwongozo na maagizo yanayotegemea Biblia hutolewa na Baraza Linaloongoza ambalo limefanyizwa na watu ambao wamekuwa Mashahidi kwa muda mrefu ambao sasa wanafanya kazi katika makao makuu ya Mashahidi wa Yehova huko Warwick, New York.—Matendo 15:23-29; 1 Timotheo 3:1-7.