Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

MNARA WA MLINZI Na. 1 2017 | Jinsi ya Kufaidika Zaidi Unaposoma Biblia

UNA MAONI GANI

Je, Biblia ni kitabu kilichopitwa na wakati? Au je, bado ina thamani? Biblia yenyewe inasema hivi: “Andiko lote limeongozwa na roho ya Mungu nalo ni lenye faida.”2 Timotheo 3:16, 17.

Gazeti hili la Mnara wa Mlinzi linazungumzia mifano ya hekima ya Biblia na linatoa mapendekezo ya jinsi unavyoweza kufaidika unaposoma Biblia.

 

HABARI KUU

Kwa Nini Nisome Biblia?

Mamilioni ya watu wamefaidika jinsi gani kwa kusoma Biblia?

HABARI KUU

Nianze Jinsi Gani?

Mapendekezo matano yatakayokusaidia kufurahia zaidi usomaji wako wa Biblia.

HABARI KUU

Ni Nini Kitakachofanya Nifurahie Kusoma Biblia?

Tafsiri, teknolojia, vifaa vya kujifunzia Biblia, na njia mbalimbali zinazoweza kukusaidia ufurahie usomaji wako.

HABARI KUU

Biblia Inawezaje Kuboresha Maisha Yangu?

Kitabu hiki cha kale kina ushauri mzuri.

BIBLIA HUBADILI MAISHA

Sikutaka Kufa!

Wakati fulani Yvonne Quarrie alijiuliza hivi: “Kwa nini niko hai?” Jibu la swali hilo lilibadili maisha yake.

IGENI IMANI YAO

‘Alimpendeza Mungu Vema’

Ikiwa wewe ni kichwa cha familia au unakabili changamoto ya kudumisha msimamo wako wa kile unachoamini kuwa sahihi, unaweza kujifunza mengi kutokana na imani ya Enoko.

Kuelewa Maandiko Kimakosa, Je, Ni Tatizo Dogo?

Ujumbe wa Biblia ni muhimu sana, hivyo tunapaswa kuuelewa kwa usahihi. Unawezaje kufanya hivyo?

Biblia Inasema Nini?

Biblia haielezi tu chanzo cha matatizo, bali pia jinsi yatakavyokwisha.

Habari Zaidi Mtandaoni

Je, Biblia Inajipinga Yenyewe?

Chunguza mambo fulani katika Biblia yanayoifanya Biblia ionekane kuwa inajipinga yenyewe na kanuni unazoweza kutumia ili uelewe waziwazi mistari ya Biblia.