Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Mungu Anaahidi Afya Bora ya Akili

Mungu Anaahidi Afya Bora ya Akili

Mungu anatumia Biblia kutoa mwongozo na faraja kwa wale wanaokabiliana na matatizo ya akili.

Mungu amefanya mengi zaidi. Ameahidi kuondoa kabisa chanzo cha matatizo ya akili.

Mungu atakapotimiza ahadi hiyo, hakutakuwa tena na hisia zenye maumivu, matatizo ya akili, na kumbukumbu mbaya, kwa kuwa mambo hayo “hayataingia tena akilini, wala hayataingia tena moyoni.”​—Isaya 65:17.

Mashahidi wa Yehova watafurahi kukusaidia kujua ni lini na jinsi gani Mungu atatimiza ahadi hiyo yenye kugusa moyo.