Hamia kwenye habari

Kukabiliana na Hali Ngumu

Mashahidi wa Yehova wametambua kwamba inawezekana kuwa na shangwe na uradhi maishani licha ya matatizo ya kiafya na ulemavu.

‘Yehova Aliyaokoa Maisha Yetu’

Sowbhagya alikata tamaa hivi kwamba akaamua kutoa uhai wake na wa binti yake. Ni nini kilichomsaidia kubadili mawazo yake na kuwa na kusudi maishani?

DeJanerio Brown: Nimeumizwa Lakini Sijaangamizwa

How does Jehovah help those dealing with sudden tragedies?

Anajidhabihu Licha ya Matatizo ya Afya

Maria Lúcia anawezaje kuwasaidia wengine ingawa yeye ni kiziwi na kipofu?

Kumtumikia Yehova Licha ya Hali Ngumu Nchini Venezuela

Ndugu na dada zetu nchini Venezuela wanaendelea kuwa na bidii katika huduma na “wamekuwa chanzo cha faraja nyingi” kwa mmoja na mwenzake.

Anawafariji Wengine Licha ya Matatizo Yake ya Afya

Kwa sababu Clodean alikuwa ameazimia kutojisikitikia, alimwomba Mungu ampe nguvu za kuwafariji wengine.

Anaendelea Kuwa na Bidii Licha ya Ulemavu

Virginia ameugua ugonjwa wa kupooza kwa miaka 23. Lakini tumaini lake la Kikristo humpa faraja na ulinzi.

Kumtumikia Mungu Ndiyo Dawa Yake!

Onesmus alizaliwa akiwa na ugonjwa wa mifupa unaoitwa osteogenesis imperfecta. Ahadi za Mungu zilizoandikwa katika Biblia zimemtia moyo jinsi gani?

Nina Nguvu Ingawa Mimi Ni Dhaifu

Mwanamke anayetumia kiti cha magurudumu apata “nguvu zinazopita zile za kawaida” kupitia imani yake.

Yehova Amenipa Zaidi ya Ninavyostahili

Félix Alarcón alipata kusudi la maisha baada ya kupata aksidenti ya pikipiki iliyofanya apooze kuanzia shingoni kushuka chini.

Kumkaribia Mungu Ni Kwema Kwangu

Alipokuwa na umri wa miaka tisa, Sarah Maiga aliacha kukua kimwili, lakini aliendelea kukua kiroho.

Nilipata Tumaini Nilipokuwa Nimekata Tamaa

Akiwa na umri wa miaka 20, Miklós Aleksza alipooza kwa sababu ya aksidenti mbaya. Biblia ilimsaidiaje kuwa na tumaini bora la wakati ujao?

“Ikiwa Kingsley Anaweza, Mimi Pia Ninaweza!”

Kingsley, kutoka Sri Lanka, alikabiliana na changamoto nyingi ili kutimiza mgawo wake wa dakika chache.

Kuishi Bila Kuona na Kusikia

James Ryan alizaliwa akiwa kiziwi na baadaye akawa kipofu. Ni nini ambacho kimempa kusudi halisi maishani?

Kuwa Kiziwi Hakujanizuia Kuwafundisha Wengine

Ingawa Walter Markin hawezi kusikia, amekuwa na maisha yenye furaha na ya kuridhisha katika kumtumikia Yehova Mungu.

Macho ya Jairo—Njia Yake ya Kumwabudu na Kumtumikia Mungu

Ingawa anakabili aina mbaya sana ya ugonjwa wa kupooza ubongo, Jairo anafurahi kwa sababu maisha yake yana kusudi.

Nilipokea Kweli ya Biblia Bila Kuwa na Mikono

Kijana mwenye ulemavu uliosababishwa na aksidenti, hata hivyo, alipata jambo lililosaidia kumwamini Muumba.

“Najitahidi Kutofikiria Ugonjwa Wangu Kila Wakati”

Ni nini kinachomsaidia Elisa kuvumilia maumivu ya ugonjwa mbaya na hata wakati mwingine kusahau kwamba anaugua?

Alishikamana na Imani Yake

Song Hee Kang alifanikiwa kukabiliana na ugonjwa uliohatarisha maisha alipokuwa na umri wa miaka 14.