Hamia kwenye habari

Uhai na Kifo

Uhai

Ni Nini Maana ya Uhai?

Je, umewahi kujiuliza, ‘Kusudi la uhai ni nini?’ Jifunze jinsi Biblia inavyojibu swali hilo

Mungu Aliniumba kwa Kusudi Gani?

Je, unahitaji ishara au mwito wa pekee ili ujue mapenzi ya Mungu? Pata jibu katika Biblia.

Unapaswa Kufanya Nini Ili Uishi Milele?

Biblia inaahidi kwamba wale wanaofanya mapenzi ya Mungu wanaweza kuishi milele. Fikiria mambo matatu ambayo anataka tufanye.

Nafsi Ni Nini?

Je, ni kitu fulani kilicho ndani yako? Je, kitaendelea kuishi baada ya wewe kufa?

Ni Nani Ambao Majina yao Yameandikwa Katika “Kitabu cha Uzima”?

Mungu ameahidi kuwakumbuka wote ambao ni waaminifu kwake. Je, jina lako limo katika ‘kitabu chake cha uzima’?

Kifo

Kwa Nini Watu Hufa?

Jibu la Biblia kwa swali hilo linatoa faraja na tumaini.

Inakuwaje Tunapokufa?

Je, wafu wanajua jambo lolote?

Biblia Inasema Nini Kuhusu Kuchoma Maiti?

Je, kuna zaidi ya njia moja inayokubalika ya kushughulikia maiti?

Ninataka Kufa​—Je, Biblia Inaweza Kunisaidia Ikiwa Ninawazia Kujiua?

Biblia inaweza kutoa msaada gani unaofaa kwa mtu anayetaka kufa?

Hofu ya Kifo​—Unaweza Kuishindaje?

Kushinda hofu ya kifo kunaweza kukusaidia uwe na furaha.

Ni Nini Kinachomaanishwa na Hisia za Watu Wanapokaribia Kifo?

Je, yanatupa ishara za maisha baada ya kifo? Simulizi la Biblia kuhusu ufufuo wa Lazaro yanatoa wazo fulani kuhusiana na jambo hilo.

Je, Wakati Wetu wa Kufa Umeamuliwa Mapema?

Kwa nini Biblia inasema kwamba kuna “wakati wa kufa”?

Biblia Inasema Nini Kuhusu Kuharakisha Kifo cha Mtu Mwenye Ugonjwa Usioweza Kupona?

Namna gani ikiwa mtu ana ugonjwa usioweza kupona? Je, jitihada za kupita kiasi zifanywe ili kuendeleza uhai?

Mbinguni na Moto wa Mateso

Mbingu Ni Nini?

Katika Biblia, neno hilo lina maana tatu za msingi.

Ni Nani Wanaoenda Mbinguni?

Ni kawaida kwa watu kuwa na maoni yasiyo sahihi kwamba watu wote wema huenda mbinguni. Biblia inafundisha nini hasa?

Je, Moto wa Mateso Ni Halisi? Kuzimu Ni Wapi Kulingana na Biblia?

Watu wengi wanaamini kwamba kuzimu ni mahali ambapo kuna moto wa milele ambapo waovu huadhibiwa. Je, hivyo ndivyo Biblia inavyofundisha?

Ni Nani Wanaoenda Kuzimu?

Je, inawezekana watu wema kwenda kuzimu? Je, inawezekana watu walio kuzimu kutoka huko? Je, watu watabaki kuzimu milele? Biblia inajibu maswali hayo.

Ziwa la Moto Ni Nini? Je, Ni Sawa na Moto wa Mateso au Gehena?

Yesu ana ‘funguo za kuzimu’ au, moto wa mateso, lakini je, ana funguo za ziwa la moto?

Yule Tajiri na Lazaro Walikuwa Nani?

Je, mfano wa Yesu unafundisha kwamba watu wema wanaenda mbinguni na wabaya wanateswa katika moto wa mateso?

Je, Biblia Inazungumza Kuhusu Toharani?

Huenda ukashangaa kujua chanzo cha fundisho hili.

Je, Wanyama Wanaenda Mbinguni?

Biblia ina sababu nzuri za kutotaja kwamba kuna mbingu kwa ajili ya wanyama vipenzi.

Tumaini kwa Wafu

Ufufuo Ni Nini?

Huenda ukashangaa kujua ni nani watakaofufuliwa wakati ujao.