Ona video zinazopatikana

Afya ya Kimwili na ya Akili

Afya ya Muzuri

Mambo ya Kufanya ili Afya Yako Ikuwe Muzuri

Mambo tano yenye unaweza kufanya leo yanaweza kukusaidia ukuwe na afya muzuri.

Namna ya Kupunguza Hatari ya Kupata Magonjwa

Kila siku mwili wako unapiganisha maadui wenye kuwa kimya na wenye hauone lakini ambao wanaweza kuleta kifo.

Mawazo Yako Ni ya Maana Sana!

Hekima ya Biblia inaweza kukusaidia ukuwe na furaha zaidi?

Namna ya Kufanya Maisha Ikuwe Muzuri Zaidi—Afya ya Moyoni

Tunapata faida wakati tunakuwa na uwezo wa kuzuia hisia zetu.

Njia ya Maisha Yenye Furaha​—Afya ya Kimwili na Uwezo wa Kuvumilia

Ikiwa afya yetu ni ya mubaya, je, hilo linaonyesha kama hatutakuwa tena na furaha?

Namna ya Kufanya Maisha Ikuwe ya Muzuri Zaidi—Afya ya Kimwili

Kanuni za Biblia zinatutia moyo kufanya yote yenye tunaweza ili kutunza afya yetu ya kimwili.

Namna ya Kuzeeka Muzuri

Kanuni sita za Biblia zinaweza kukusaidia ujipatanishe na hali hiyo mupya ya maisha.

Hewa ya Muzuri na Mwangaza wa Jua—Ni “Dawa” za Asili za Kuua Bakteria?

Sayansi ya leo inahakikisha mambo watu walivumbua kati ya mwaka wa 1801 na 1900.

Namna ya Kupambana na Magonjwa

Je, Biblia Inaweza Kukusaidia Ikiwa Una Ugonjwa wa Siku Nyingi?

Ndiyo! Jifunze mambo matatu yanayoweza kukusaidia upambane na ugonjwa wa siku nyingi.

Namna ya Kusaidia Wale Wenye Wako na Matatizo ya Akili

Kama unasaidia rafiki mwenye kuwa na matatizo ya akili, ile inaweza kumufariji na kumutia moyo.

Je, Maisha iko na Maana Wakati uko na Ugonjwa Hatari?

Ujifunze namna watu fulani walivumilia wakati walipatwa na ugonjwa hatari.

“Ninakataa Kukaza Akili Juu ya Ugonjwa Wangu”

Ni nini kinamusaidia Elisa kuwa na nguvu ya kuvumilia maumivu ya ugonjwa usiopona na hata wakati fulani kusahau kuwa iko mugonjwa?

Namna ya Kupambana na Ulemavu

Kupata Nguvu Katika Uzaifu

Mwanamuke anayetembea akiwa katika kiti cha magurudumu anapata “nguvu zinazopita zile za kawaida” kupitia imani yake.

Kuishi Bila Kuona

Vipofu wanaweza kabisa kuwa na uwezo mukubwa wa kusikia, kunusa, na kugusa?

Macho ya Jairo—Yanamusaidia Kutumikia Mungu

Hata ikiwa Jairo anasumbuliwa na aina ya kupooza ubongo iliyo kali sana, maisha yake ni yenye furaha na maana.

Kumutumikia Mungu Ndiyo Dawa yake!

Onesmus alizaliwa na ugonjwa unaofanya mifupa iwe zaifu. Namna gani ahadi ya Biblia imemutia moyo?

Yehova Amenipatia Mambo Mengi Kuliko Yenye Ninastahili

Félix Alarcón alipata kusudi la kweli katika maisha kisha kufanya aksidenti ya mubaya sana ya pikipiki yenye ilifanya apooze kuanzia kwenye shingo mupaka kwenye miguu.

Nilipata Tumaini Wakati Niliihitaji Kabisa

Alipokuwa na miaka 20, mwili wa Miklós Alexa ulipooza kwa sababu ya aksidenti. Namna gani Biblia ilimusaidia awe na tumaini la kweli la wakati unaokuja?

Kazi ya Kuchunga Mugonjwa ao Mutu Mwenye Kuzeeka

Biblia Inasema Nini Juu ya Kuchunga Wazazi Wenye Kuzeeka?

Mu Biblia muko mifano ya wanaume na wanamuke wenye walikuwa na imani wenye walihangaikia wazazi wao wenye kuzeeka. Muko pia mashauri yenye inaweza kusaidia wale wenye kuchunga wazazi wenye kuzeeka.

Ikiwa Mutoto Wako Ni Mulemavu

Fikiria matatizo matatu ambayo unaweza kupambana nayo na namna hekima ya Biblia inavyoweza kukusaidia.

Wakati Mupendwa Anakaribia Kufa Kwa Sababu ya Ugonjwa Fulani

Watu wa familia wanaweza kufanya nini ili kufariji mupendwa wao mwenye kukaribia kufa kwa sababu ya ugonjwa fulani? Namna gani watu wenye kuchunga mupendwa wao wanaweza kupambana na hisia zenye zinaweza kuwapata wakati wote wa ugonjwa huo?

Magonjwa na Hali

Magonjwa ya Kuambukiza​—Mambo Yenye Unaweza Kufanya

Wakati kunakuwa ugonjwa wenye kuambukiza, unaweza kufanya nini juu ya kulinda afya yako ya kimwili, ya kihisia, na ya kiroho?

Mambo Unapaswa Kujua Juu ya Matatizo ya Akili

Mambo kenda yanaweza kukusaidia uhangaikie tatizo la akili muzuri sana.

Ugonjwa wa Sukari—Unaweza Kupunguza Uwezekano wa Kuupata?

Watu 90 juu ya 100 ya wale walio katika hatua inayotangulia aina ya 2 ya ugonjwa wa sukari hawajue kwamba wako katika hatua hiyo.

Mambo Ambayo Unapaswa Kujua Juu ya Ugonjwa wa Kifafa

Chunguza mambo fulani ya hakika juu ya ugonjwa huo ambao mara nyingi watu hawaelewe vizuri.

Ugonjwa wa Nyama Inayoshika Meno—Unaweza Kuupata?

Ugonjwa wa nyama inayoshika meno ni moja kati ya magonjwa ya kinywa ambayo watu wengi wanapata katika ulimwengu. Unatokana na nini? Unaweza kujua namna gani kwamba umeupata?

Kuna Tofauti Gani Kati ya Mwili Kukataa Chakula na Tumbo Kukataa Chakula?

Kuna hatari ya kutaa chakula fulani mbele ya kumuona munganga?

Mambo Unapaswa Kujua Juu ya Malaria

Unaweza kujilinda na malaria ikiwa unaishi ao unapanga kusafiri katika inchi yenye kuwa sana na malaria.

Mwanamuke Anapopambana na Matatizo ya Kipindi cha Kuacha Kuona Mwezi

Kadiri wewe na watu ambao unapenda munavyoelewa kipindi cha kuacha kuona mwezi, ndivyo mutakuwa na uwezo wa kupambana na matatizo ambayo yanatokana na kipindi hicho.

Kushuka Moyo

Biblia Inasema Nini Kuhusu Ugonjwa wa Kushuka Moyo?

Jifunze sababu gani watu wanasumbuliwa na ugonjwa wa kushuka moyo na namna Biblia inaweza kukusaidia upambane na mawazo yasiyofaa.

Wakati Inaonekana Kama Maisha Inakuwa Nguvu Kuvumilia

Maisha iko na maana hata kama inakuwa na magumu ya namna gani.

Vijana Wanashuka Moyo—Sababu Gani? Ni Nini Inaweza Kuwasaidia?

Ujifunze kutambua alama na mambo yenye pengine yanatokeza tatizo hilo. Uone jambo lenye wazazi na watu wengine wanaweza kufanya ili kusaidia.

Namna Gani Ninaweza Kuepuka Mawazo ya Mubaya?

Unaweza kujua namna ya kuwa na mutazamo muzuri kwa kufuata mashauri yenye kuwa katika habari hii.

Hesabu ya Vijana Wenye Kuwa na Matatizo ya Akili Inaongezeka​—Biblia Inasema Nini?

Biblia njo inaweza kusaidia vijana wenye kuwa na matatizo ya akili.

Je, Biblia Inaweza Kunisaidia Ninapovunjika Moyo?

Kuna mambo matatu ambayo Mungu anatutolea ili kutusaidia tupambane na kuvunjika moyo.

Namna gani Biblia Inaweza Kusaidia Wale Wenye Wako na Mawazo ya Kujiua?

Biblia inatoa mashauri gani kwa ajili ya mutu mwenye anapenda kufa?

Mahangaiko na Huzuni

Namna ya Kupambana na Mukazo

Ona kanuni fulani zenye kufaa zenye zinaweza kukusaidia upambane muzuri na mukazo na pengine hata kuupunguza.

Biblia Inaweza Kukusaidia Kupambana Na Mahangaiko?

Mahangiko yanaonekana kuwa sehemu ya maisha ya wanadamu. Kuna siku yataisha?

Mambo Biblia Inasema Juu ya Mahangaiko

Mahangaiko yenye kufaa yanaweza kusaidia, mahangaiko yasiyofaa yanaweza kuwa hatari. Namna gani unaweza kuyapiganisha?

Namna ya Kushinda—Mahangaiko ya Akili

Mashauri ya Biblia yenye kufaa yanaweza kusaidia upambane na mahangaiko ya akili yanayoletwa na mambo ine ya kawaida.

Tatizo: Uko na Mambo Mengi ya Kufanya

Ikiwa unajaribu kufanya kila kitu, unaweza kushindwa kufanya hata kitu kimoja. Namna gani unaweza kupunguza mahangaiko yako ya akili?

Wakati Kijana Wako Mwanamuke Ana Mahangaiko

Vijana wengi wanawake wanajisikia kuwa wanalemewa na mabadiliko yanayowafikia. Namna gani wazazi wanaweza kuwasaidia washinde mahangaiko hayo?

Wakati Kunakuwa Mabadiliko Katika Maisha

Hauwezi kuepuka mabadiliko. Fikiria mambo yenye vijana fulani walifanya ili kujipatanisha na mabadiliko yenye walipata katika maisha.

Namna ya Kupiganisha Hali ya Kujisikia Kuwa Hauko Salama

Mambo tatu yanaweza kukusaidia ujisikie kuwa salama zaidi.

Matunzo ya Kinganga

Je, Mukristo Anaweza Kukubali Matunzo ya Kiganga?

Je, Mungu anapendezwa na maamuzi tunayofanya kuhusu matunzo ya kiganga?

Wakati Mutu Fulani Mwenye Unapenda Anagonjwa

Kuenda kuonana na waganga na kubakia kwenye hospitali kunaweza kuhangaisha akili. Namna gani unaweza kusaidia rafiki ao mutu wa jamaa apambane muzuri na hali ngumu?