Hamia kwenye habari

Mahusiano

Kusitawisha Urafiki

Kuboresha Maisha​—Kuboresha Uhusiano wa Familia na Marafiki

Mahusiano ambayo hufanikiwa hutegemea zaidi kutoa badala ya kupokea.

Unawezaje Kuwa Rafiki Mzuri?

Watu wengi wanahisi kwamba ni muhimu kupata marafiki wazuri. Unawezaje kuwa rafiki mzuri? Makala hii ina kanuni nne za Biblia zinazoweza kukusaidia.

Rafiki wa Kweli

Ni rahisi kupata marafiki bandia, lakini unawezaje kupata rafiki wa kweli?

Jinsi ya Kupata Marafiki wa Kweli

Ona mambo manne yanayoweza kukusaidia uanzishe urafiki wenye kuridhisha.

Je, Niongeze Idadi ya Marafiki Wangu?

Kuwa katika kikundi cha marafiki wachache kunaweza kuburudisha, lakini si mara zote kuna faida. Kwa nini?

Upweke

Jinsi ya Kukabiliana na Upweke

Kuhisi ukiwa mpweke kwa kuendelea kunaweza kudhuru afya yako sawa na kuvuta sigara 15 kwa siku. Unawezaje kuepuka hali hiyo ya kuhisi umetengwa na wengine na kuhisi ukiwa mpweke?

Kwa Nini Sina Marafiki?

Si wewe tu peke yako unayehisi upweke au unayehisi huna marafiki. Jifunze jinsi ambavyo watu wengine wa umri wako walivyoshinda hisia hizo.

Nifanye Nini Ikiwa Inaonekana Wengine Hawanipendi?

Je, ni bora kukubalika na watu ambao hawana viwango, au kudumisha utu wako mwenyewe?

Mawasiliano ya Kidijitali

Jinsi ya Kuacha Kazi “Ibaki Kazini”

Madokezo matano yanayoweza kukusaidia usiruhusu kazi yako iingilie ndoa yako.

Jinsi ya Kutumia Teknolojia kwa Usawaziko

Matumizi ya teknolojia yanaweza kuboresha au kudhoofisha ndoa yako. Yanaathirije ndoa yako?

Ninapaswa Kujua Nini Kuhusu Kutuma au Kutumiwa Picha Mtandaoni?

Kutuma au kutumiwa picha ni njia rahisi ya kuwasiliana na marafiki na watu wa familia, lakini pia kuna hatari ya kufanya hivyo.

Tumia Mitandao ya Kijamii kwa Hekima

Furahia kuungana na marafiki kwenye Intaneti huku ukihakikisha uko salama.

Ninapaswa Kujua Nini Kuhusu Kutuma Ujumbe Mfupi?

Kutuma ujumbe mfupi kunaweza kuathiri urafiki wako pamoja na wengine na sifa yako. Ona hilo linawezakanaje.

Kupokea au Kutuma Ujumbe kwa Adabu

Je, ni kukosa adabu kukatisha mazungumzo ili usome ujumbe wa simu? Au je, ni vibaya kupuuza ujumbe wa simu ili uendelee na mazungumzo?

Urafiki na Mtu wa Jinsia Tofauti

Je, Niko Tayari Kuanzisha Urafiki wa Kimapenzi?

Mambo matano yatakayokusaidia kujichunguza ili kujua ikiwa uko tayari kuanzisha urafiki wa kimapenzi na kufunga ndoa.

Je, Kuwachezea Wengine Kimapenzi Kuna Madhara?

Kuchezea wengine kimapenzi ni nini hasa? Kwa nini baadhi ya watu huwachezea wengine kimapenzi? Je, kuna madhara ya kufanya hivyo?

Je, Ni Urafiki wa Kawaida au wa Kimapenzi?—Sehemu ya 1: Ananipa Ishara Gani?

Pata madokezo yatakayokusaidia kutambua ikiwa mtu anapendezwa nawe kimapenzi au anataka tu muwe marafiki.

Je, Ni Urafiki wa Kawaida au wa Kimapenzi?—Sehemu ya 2: Ninaonyesha Ishara Gani?

Je, rafiki yako anahisi kwamba unataka muwe na urafiki wa kimapenzi? Chunguza madokezo haya.

Nitazamie Nini Katika Ndoa?—Sehemu ya 2

Pata kujua jinsi unavyoweza kujitayarisha kushughulika na hali ngumu ambazo hukutazamia katika ndoa yenu.

Je, Huu Ni Upendo wa Kweli?

Jifunze maana ya upendo wa kupumbazika na upendo wa kweli.

Biblia Inasema Nini Kuhusu Kuishi Pamoja Bila Kufunga Ndoa?

Maagizo kutoka kwa Mungu hutuonyesha jinsi ya kuwa na mahusiano mazuri katika familia, na sikuzote viwango vyake huwanufaisha wale wanaovifuata.

Je, Mashahidi wa Yehova Wana Sheria Kuhusu Urafiki wa Kimapenzi?

Je, urafiki wa kimapenzi ni jambo zito au la kujifurahisha tu?

Upendo wa Kweli Ni Nini?

Kanuni za Biblia zinaweza kuwasaidia Wakristo kuchagua mwenzi wa ndoa anayefaa na pia kuendelea kuonyeshana upendo wa kweli baada ya kufunga ndoa.

Uchumba Unapovunjika

Unawezaje kuendelea na maisha yako baada ya uchumba kuvunjika?

Ninaweza Kukabilianaje na Mkazo wa Kuvunjika kwa Uhusiano?

Jifunze jinsi ya kuondoa maumivu makali ya kihisia.

Kutatua Kutoelewana

Kwa Nini Niombe Msamaha?

Ona sababu tatu nzuri za kuomba msamaha hata unapohisi kwamba hujakosea kabisa.

Biblia Inasema Nini Kuhusu Hasira?

Je, kuna wakati ambapo huenda kukawa na sababu zinazofaa za kukasirika? Unapaswa kufanya nini unapoanza kupandwa na hasira?

Watu Wanawezaje Kuishi kwa Amani?

Ushauri wa Biblia umewasaidia maadui wa zamani kufanya amani na kuwa marafiki.

Kusamehe Kunamaanisha Nini?

Biblia inaonyesha hatua tano zinazoweza kukusaidia kumsamehe mtu anayekukosea.

Jinsi ya Kusamehe

Kwa nini inaweza kuwa vigumu sana kusamehe? Ona jinsi shauri la Biblia linavyoweza kusaidia.

Njia ya Maisha Inayoleta Furaha​​—Kusamehe

Maisha yaliyojaa hasira na chuki humzuia mtu kuwa na furaha na huathiri afya pia.

Ubaguzi na Upendeleo

Ubaguzi—Tatizo la Ulimwenguni Pote

Ubaguzi ni nini? Kwa nini ubaguzi ni tatizo la kibinafsi lakini linaloathiri ulimwengu mzima?

Ubaguzi​—Je, Umekuathiri?

Ni mambo gani yanayoweza kuonyesha kwamba tuna ubaguzi?

Jinsi Biblia Inavyoweza Kukusaidia Kuwa Mstahimilivu

Maandiko haya yanaonyesha jinsi Biblia inavyowatia watu moyo kufuatilia amani na kuwaheshimu watu wote.

Maoni ya Biblia Ni Nini Kuhusu Ubaguzi wa Kijamii?

Je, jamii zote ziko sawa? Je, ubaguzi wa kijamii utakwisha?

Jinsi ya Kushinda Chuki​—Usiwe na Ubaguzi

Ng’oa hisia zisizofaa kuwaelekea wengine kwa kumwiga Mungu asiye na ubaguzi.

Ubaguzi​—Anzisha Urafiki na Watu Mbalimbali

Ona faida za kuwa na marafiki ambao wana maoni na mtazamo tofauti na wako.

Je, Usawa wa Kijamii Ni Ndoto Tu?​—Biblia Inasema Nini?

Mamilioni ya watu wanajifunza kutoka katika Biblia jinsi ya kuwatendea wengine kwa heshima.

Ubaguzi Utakwisha Lini?

Masimulizi ya maisha yanaonyesha jinsi Biblia inavyowasaidia watu kushinda ubaguzi. Ni wakati gani ambapo ubaguzi utaondolewa kabisa?

Je, Upendo Unaweza Kushinda Chuki?

Inaweza kuwa vigumu kushinda ubaguzi. Ona jinsi Myahudi na Mpalestina walivyofanikiwa kushinda tatizo hilo.

Johny na Gideon: Walikuwa Maadui, Sasa Ni Ndugu

Katika maeneo fulani, ubaguzi wa rangi ni jambo la kawaida kila siku. Ona jinsi wanaume wawili nchini Afrika Kusini walishinda tatizo hilo.

Nilitaka Kupigania Haki

Rafika alijiunga na kikundi cha kufanya mabadiliko ili kupambana na ukosefu wa haki. Lakini akapata ahadi ya Biblia kwamba kutakuwa na amani na haki kupitia Ufalme wa Mungu.